Posts

Showing posts from March, 2012

MADAKTARI WAMJIBU KIBONDE WA CLOUDS FM

Image
Ephraimu kibonde hii ndiyo shukrani yako kwa madr Nakumbuka sana mwaka 2007 , ukiwa hoi bin taabani wewe na mkeo namna madaktari walikuwa wanakuhudumia kwa huruma bila kukata tamaa! wakati we na mkeo mkiwa mmekata tamaa kabisa ya kuishi lakini madaktari wale walipigana kufa kuokoa maisha yako kimwili na kisaikolojia! wakati huo ulikuwa huwezi hata kutembea ukiwa umenyonyoka hadi nywele, tena siku moja daktari mmoja alisaidia kukubeba kutoka juu kukupandisha kitandani huku ukitoa udenda kwa udhoofu, daktari yule hakujali hali hiyo mbaya uliyokuwa nayo kwani alikubeba bila hata kuvaa gloves wakati nesi aliyekuwa anakuhudumia alipokuwa akihangaika kutafuta gloves ili aweze kukubeba, unajua ni kiasi gani daktari yule alirisk maisha yake ?? ungeweza kumuambukiza ugonjwa wako lakini alisahau hilo kwa huruma yake na kukuhudumia kwa roho moja. jitihada hizo hatimae ziliza matunda na maisha yako yaliokolewa!! sasa wewe kibonde ni fadhila gani kubwa sana au ni kiasi gani c

Maisha si Maisha kama huna maadui na marafiki.

Kauli Ya Mh. Sugu juu ya mapatano yao na kesi ya madai ya kusaga dhidi ya mapacha.

Image
Joseph Mbilinyi TAARIFA YA MASIKITIKO:WALIKUJA NA KUOMBA MUAFAKA NASI TUKAKUBALI KWA AJILI YA AMANI NA MAENDELEO YA SANAA,NAMI KAMA KINEGA MWANDAMIZI NA PIA KIONGOZI(MBUNGE) NIKACHUKUA MAAMUZI MAGUMU YALIYOLETA MACHUNGU YA LAWAMA TOKA KWA MASHABIKI WETU AMBAO KIMSINGI NILIWAELEWA AND I TOOK EVERYTHING AS A MAN...BADO NASIMAMIA KUWA CHOCHOTE NILICHOFANYA NILIAMINI KUWA NILIKUWA NAFANYA KITU POSITIVE,LAKINI KUMBE W ... ENZETU HAWAKUWA NA NIA NJEMA WALA DHAMIRA YA KWELI YA KUTAKA MUAFAKA BALI WALIKUWA NA AJENDA ZAO ZINGINE,MAANA MPAKA LEO HII HAKUNA HATA MOJA WALILOTEKELEZA KUTOKANA NA ULE MUAFAKA,NA ZAIDI MARA WANAKUJA NA HILI LINGINE LA KUWASHTAKI MAPACHA NA HUKU NI WAO WALIOSEMA TUNAANZA 'MWANZO MPYA'...AMBAPO MIMI NILISEMA HAKUNA VITA ISIYOKUWA NA MALENGO NA NILIAMINI KWA DHATI MALENGO YETU SASA YALIKUWA YAMETIMIA...SASA WAO WANAPOJARIBU TENA KUVURUGA UTEKELEZAJI WA MALENGO BASI HAKIKA MALENGO YANAKUWA HAYAJATIMIA NA MAPAMBANO 'INALAZIMIKA' YAENDELEE..

Maisha yetu ni bora kuliko kazi na vyeo vyao...

Image
Na Msafiri wa Yowa II Jr .       Katika nchi yetu Kuchukua sheria mkononi kwa Askari au Raia wa kawaida si kitu cha ajabu sana, aidha kutokana na vyeo vyao na nafasi walizonazo Serikalini. Imefikia hatua hata polisi wamefanya mauaji kwa raia wasio na hatia kwa tamaa za mali ambao ni sawa na uporajiu wizi na hakukuwa na mtu mwingine yoyote yule wa kukemea unyama huo.Sasa kama anaelinda raia na mali nae ni mwizi sasa tumwamini nani? Mfano ni mauaji ya wafanyabiashara wa Morogoro maeneo ya msitu wa pande ambapo tumeona mpaka viongozi wa jeshi la polisi walishiriki kwa namna moja au nyingine.Polisi ndio wamekuwa wahalifu namba moja badala ya kuwa walinzi wa mali zetu na sisi wenyewe. Raia tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu kutokana na tamaa za baadhi ya viongozi wetu ambao hawajui misingi na kanuni za uongozi bali wameweka mbele uchu, uroho na ufisadi. Sitaki kuamini kama hawa viongozi na askari wanaofanya unyanyasaji kwa raia hawaamini kama mungu yupo na iko siku atawaadhibu kwa kile

Psychology

Why Study Psychology? Feb 18, 2000 - © Isaac Ferguson Psychology is a very exciting field of study, one that attempts to discover how the mind works. Be forewarned, however, that this is still a young science, one that is apt to cause more questions than it can provide answers for. Nevertheless, psychology remains a ready source of explanations on how people process information and why they act a certain way under given circumstances. Psychology pushes us towards greater self-knowledge by making us more aware of our actions and personalities. The first though most people think of when they hear the word psychology is something along the lines of "shrink." The reality is that very few psychologists are clinicians, counselors, or psychiatrists. The American Psychological Association recognizes over 50 subdivisions to psychology. There are psychobiologists, child psychologists, industrial, cognitive, and social psychologists-and that's just the tip of a very large iceb

Duuh! Hamna Mwembamba duniani...

Image

NANI ALIDHANI KAMA VITA YA MAGENGE / VINEGA NA CLOUDS IMEISHA? HARAKATI ZIMEANZA UPYA >>>

HAKIKA TUMEPITIA MENGI MACHUNGU NA HATUJAKATA TAMAA....JAMANI TUELEWE JAMBO MOJA TU,NAFASI YA AMANI NDIO INAYOTAFUTWA POPOTE DUNIANI NA KIZURI NI KWAMBA ADUI NDIO ANANYOOSHA MIKONO JUU....KWA KUTAMBUA HARAKATI ZA MUZIKI KWA VIJANA WA TAIFA HILI,TUMEKOMALIA MAMBO AMBAYO TUNAAMINI NDIO MIZIZI YA UFISADI NA UKANDAMIZAJI WOTE UNAOFANYWA NA WAFU FM PAMOJA NA WANAOSHIRIKIANA NAO (majina kwenye vol 3)... WAMECHOMOA NA KUYAKATAA MAKUBALIANO YOTE BAADA YA KUKUBALI HAPO AWALI MBELE YA WAZIRI,KUPITIA KIKAO CHA UTEKELEZAJI WA MAKUBALIANO HAYO MBELE YA VIONGOZI WA BASATA WALIOKUWEPO (ushahidi wa sauti za kikao upo na tutautoa),WAMEAMUA KUTURUDISHA VITANI NA HAYA NDIO MAISHA YETU.....NA KILA MMOJA WETU ANASHANGAA JAMAA SIJUI NI NANI ANAYEWASHAURI KWANI WALILETA SHAURI LA KUITWA MAHAKAMANI KWA WATU 7 AKI WEMO SUGU (aliyekamatwa mara kadhaa na kupelekwa makao makuu ya usalama wa taifa,jukwaa la wahariri,police n.k),DANI (anayetafutwa na aliyetishwa mara kadhaa n.k),MKOLONI (aliyewahi ku