Posts

Mgawanyiko wa hisia kufuatia mashambulio ya Trump dhidi ya Syria

Image
Haki miliki ya picha REUTERS Image caption Kombora kutoka kwenye meli za kijeshi za Marekani katika bahari ya Mediterranea Kumekuwa na shutuma na uungwaji mkono wa makombora iliyofyetuwa Marekani dhidi ya Syria. Inategemea ni upande upi wa mzozo huo mataifa yanaunga mkono. Mataifa yanayo unga waasi wanaopambana na utawala wa rais wa Syria Bashar al Assad, yameunga mkono shambulio hilo. Haki miliki ya picha AFP Image caption Baadhi ya watoto walioathirika na kemikali,Syria Uturuki imepokea vizuri ufyetuaji makombora hayo, wakati afisa wa wizara ya mambo ya nje wa Saudia amemsifu rais Trump kwa ukakamavu wake na Uingereza imejitolea usaidizi kikamilifu. Waziri mkuu wa Israel amesema ujumbe wa wazi umetumwa unaopaswa kusikika sio tu Damascus lakini pia Iran na Korea kaskazini. Kwa upande wake Iran ambayo kama Urusi inaunga mkono serikali ya Syria imeshutumu shambulio hilo. Haki miliki ya picha EPA Image caption Serikali ya Putin anasema kiongozi huyo am

Kendall Jenner Explains Why She Loves Her 'Tits Being Out'

Image
#FreeTheNipple. In a recent interview with  W , model and reality star Kendall Jenner revealed that she believes the Fall 2014 Marc Jacobs show was the breakthrough moment in her career. But rather than feel nervous about walking one of the most coveted runways at New York Fashion Week, she told the publication that she was actually very excited — because her bosom would be on full display in a super sheer top. "I think I wasn't nervous 'cause I was wearing flats — I was like, 'I can't fall, there's no way I can fall,'" she said. "And then my tits were out. I don't know why I wasn't nervous about that." "I was really excited about my tits being out, actually," she continued. "I'm weird, I love my tits being out. It's like one of my things, I guess. I'm young! When I'm older, I want to be able to look at it and be like, 'I looked good!'" &q

Kendall Jenner Is Reportedly "Devastated" Over the Pulled Pepsi Ad

Image
The model has deleted all her promotion of it from her social media Earlier this afternoon,  Pepsi pulled its controversial new commercial starring Kendall Jenner , where the model joins a protest and hands a cop a peace-making Pepsi—a particularly tone-deaf way of addressing current issues of police brutality and political unrest. The company apologized in its statement, saying, "we did not intend to make light of any serious issue. We are removing the content and halting any further rollout. We also apologize for putting Kendall Jenner in this position." Jenner has not yet spoken about Pepsi's decision or the ad's backlash, though she did remove the tweets she posted yesterday promoting it, along with the Instagram of her behind the scenes. And,   ET Online reports a source familiar with Jenner's Pepsi deal   says Jenner is "devastated" by the backlash. "This is the first controversial campaign she has been

Rais wa zamani wa Argentina Cristina Fernandez amefunguliwa mashtaka mapya ya ubadhirifu wa pesa

Image
Hivi ni viunganisho vya nje na vitafungua katika dirisha mpya Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha GETTY IMAGES Image caption Rais wa zamani wa Argentina Cristina Fernandez amenguliwa mashtaka mapya ya ubadhirifu wa pesa Jaji mmoja nchini Argentina amemfungulia aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Cristina Fernandez de Kirchner na wanawe wawili mashtaka ya ubadhirifu wa fedha, na ufisadi. Washiriki wake Fernandez wawili wa kibiashara pia wametajwa katika kesi hiyo na wote watano wamezuiliwa kuondoka Argentina. Fernandez, mwenye umri wa miaka 64 tayari anakumbwa na mashtaka mengine ikiwemo kutumia pesa za serikali kiholela. Amekanusha madai haya akisema kuwa ni vita vya kisiasa. Katika taarifa siku ya Jumanne, maafisa walisema hakimu wa mahakama kuu Claudio Bonadio aliwasilisha rasmi ombi la kumfungulia Fernandes mashtka ya ubadhirifu wa fedha. Mwanawe wa kike, Florencia, na wa kiume, Maximo pamoja na wanabiashara Christobal Lopez na Lazaro Baez pia wames

RAIS MAGUFULI AMTUMBUA FLORENCE MWANRI

Image
Tumbua Tumbua ya JPM Yarudi Tena,Safari Hii Amemtum,bua Kigogo Huyu wa Wizara ya Fedha..!!! Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kaimu Katibu wa Tume ya Mipango (Wizara ya Fedha), Florence Mwanri aliyeidhinisha kuanza kwa awamu ya pili ya ujenzi wa jengo jipya la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) (Terminal 3) kabla ya kumalizika kwa awamu ya kwanza. Rais Magufuli alifikia uamuzi huo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa jengo jipya na kuagiza shughuli za ujenzi wa uwanja huo ziendelee kuanzia leo. Katika ziara aliyoifanya jana ilielezwa kuwa mkandarasi anayejenga uwanja huo,  kampuni ya BAM International alitangaza kusitisha ujenzi kuanzia jana kutokana na kutolipwa madai yake. Hata hivyo, Rais Magufuli ameahidi kulipa fedha hizo haraka. Taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa ilieleza kuwa Rais Magufuli alisikitishwa na namna mradi huo unavyotekelezwa, ikiwamo Serikali kukubali

Rais Magufuli asikitishwa na gharama ya ujenzi, uwanja wa ndege

Image
8 Februari 2017 Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya picha IKULU, TANZANIA Image caption Rais Magufuli asikitishwa na gharama kubwa ya ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege Rais wa Jamhuri ya Tanzania John Pombe Magufuli, ameelezea kusitikishwa kwake na gharama kubwa ya ujenzi wa jengo jipya kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Gharama hiyo ni ya shilingi bilioni 590, ambayo ni kubwa ikilinganisha na jengo lililojengwa. Rais Magufuli amesema hayo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye uwanja huo. "Hivi kulikuwa na sababu gani za nyinyi wataalamu wa serikali kukubali gharama kubwa namna hii, hivi hili jengo linafanana na bilioni 560," aliuliza Dkt. Magufuli. Awali mkandarasi anayejenga uwanja huo ambaye ni kampuni ya BAM International , alitangaza kusitisha ujenzi huo kutokana na kutolipwa. Mheshimiwa Rais Magufuli aliahidi kulipa fedha hizo. Kufuatia hali hiyo Mheshimiwa Rais mafufuli amemuagiza waziri wa u

Makonda aitwa bungeni kujieleza WEDNESDAY , 8TH FEB , 2017 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja limewaita mbele ya Kamati yake ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, na DC wa Arumeru Alexander Mnyeti kwa madai ya kudharau Bunge.

Image
Maamuzi hayo ni sehemu ya maazimio manne ya  Bunge yaliyopishwa usiku huu dhidi ya viongozi wanaoteuliwa na Rais hasa wakuu wa mikoa na wilaya, ambapo azimio lingine ni kumtaka Waziri wa TAMISEMI kutoa maelekezo kwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na kutoingilia majukumu yasiyo yao. Hatua hiyo inafuatia hoja iliyotolewa bungeni hapo na Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, kufuatia kauli inayodaiwa kutolewa na Mkuu wa Mkoa wa  Dar es Salaam Paul Makonda inayodaiwa kuwa ni dharau kwa Bunge. Pia Mwita amedai kuwa viongozi mbalimbali hasa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wamekuwa wakitumia madaraka yao vibaya kiasi cha kuingilia majukumu yasiyo yao, na wakati mwingine kuingilia majukumu ya Bunge, na kutolea mfano Paul Makonda na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Alexander Mnyeti.   Baada ya hoja yake kukubaliwa na Mwenyekiti wa kikao hicho Mh Andrew Chenge, wabunge wameijadili ambapo wabunge kadhaa akiwemo Ester Bulaya, Zitto Kabwe,